JINSI YA KUIFANYA COMPUTER YAKO IKUKARIBISHE KWA KUKUTAJA JINA UNAPOIWASHA


karibu kwenye somo la leo. naamini wewe ni mmoja wa watu ambao wamekuwa wakitamani kuona computer yao inataja jina lako(inakukaribisha mara tu inapowaka(miimi pia ni mmoja wao). basi hili ni somo maalum kwaajiili yako,Ili kuweza kufanya hivyo fata hatua hizi rahisi. fata kwa umakini kabisa.
1.(a)Nenda sehem ya kusearch na uandike notepad kama unavyoona hiyo picha hapa chini

(b)au bonyeza windows button na R kwa pamoja then andika notepad then ENTER

2. ikifunguka notepad, copy hizi code kama zilivyo na u paste kwenye notepad
Dim speaks, speech
speaks="Welcome to your PC, Username"
Set speech=CreateObject("sapi.spvoice")
speech.Speak speaks
kwenye hilo neno USERNAME andika jina lako

3.nenda sehem imeandikwa FILE then chagua save as.
4.kisha uandike WELCOME.vbs then kwenye "save as type" chagua All Files kisha bonyeza save kisha funga
kumbuka unapotaka kusave ni lazima ujue unasave wapi, maana tutalihitaji hilo file.

5.nenda uliposave hilo file na ulicopy. kisha nenda kwenye my computer then Local disk C:\documents and setting\All users\start menu\programs\startup
(hii ni kwa wale wanaotumia windows XP) na upaste hilo file hapo
nenda Local disk C:\users(user-Name)\App Data\Roaming\Microsoft\Windows\start menu\programs\startup (hii ni ni kwa wanaotumia windows 7, na 8, 8.1) na upaste hilo file hapo.
hapo kwenye USER-NAME chagua jina la USER yan jina lako uliloliweka akati unaweka windows, utalikuta hapo limeandikwa pia utakuta na public. achana na public.
kumbuka kama unatumia windows 7 AppData hutaiona so unatakiwa uende kwenye search na uandike hidden folder na uchague show hidden folders kama hii picha inavyoonesha. baada ya hapo utafata step zote za juu kama zilivyo


6.nenda kwenye control pannel then "sound and devices", then "sound", then kwenye "sound scheme" chagua "no sound" kisha apply na ubonyeze OK
7. hapo utakuwa umemaliza restart computer yako.

kwa swali lolote wailiana nami kwa email:obbymjuzi@gmail.com
ASANTE SANA

Previous
Next Post »

13 comments

Write comments
Super H Media
AUTHOR
June 10, 2016 at 4:19 AM delete

nime jaribu lakini hilo neno la mwisho sija likuta(startup)

Reply
avatar
OBBY MJUZI
AUTHOR
June 10, 2016 at 11:34 PM delete

fuata maelekezo vizuri, hilo neno lipo. ni vema ujue unatumia windows ngapi kabla hujafanya

Reply
avatar
code maftah
AUTHOR
June 11, 2016 at 12:56 AM delete

Asante sana mr obby nimekusoma sana mzee

Reply
avatar
Unknown
AUTHOR
June 11, 2016 at 12:14 PM delete

sound scheme haliji me natumia window 10

Reply
avatar
OBBY MJUZI
AUTHOR
June 12, 2016 at 2:58 AM delete

pamoja sanna mwanakwetu code!! tsha sanaaaaaaaaa

Reply
avatar
OBBY MJUZI
AUTHOR
June 12, 2016 at 2:58 AM delete

pamoja sanna mwanakwetu code!! tsha sanaaaaaaaaa

Reply
avatar
OBBY MJUZI
AUTHOR
June 12, 2016 at 2:59 AM delete

unaishia kwenye nini ili nijue nakusaidiaje!

Reply
avatar
OBBY MJUZI
AUTHOR
June 12, 2016 at 2:59 AM delete

unaishia kwenye nini ili nijue nakusaidiaje!

Reply
avatar
June 29, 2016 at 5:03 AM delete

Mm natumia window 7 X4 bado sijafanikiwa nisaidie please

Reply
avatar
OBBY MJUZI
AUTHOR
July 6, 2016 at 11:42 PM delete

unaishia wap ili nijue nakusaidiaje

Reply
avatar
Unknown
AUTHOR
February 27, 2017 at 2:20 AM delete

ME HAPO KWENYE USER NAME CJAJUA NAIPATA VP AMBAYO UNAIACHA PUBLIC

Reply
avatar
The GREEN
AUTHOR
April 27, 2017 at 12:08 PM delete

mm nimemaliza kabisa ila nikiwasha inaleta maandishi tu but haiongei

Reply
avatar
OBBY MJUZI
AUTHOR
June 8, 2017 at 11:50 PM delete

Mbona maelezo yanajitosheleza hapo unakwama wap?

Reply
avatar